SIASA


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mh. Amiri J. Nondo akimtambulisha Diwani mpya Mh. Deogratius P. Mzeru kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) aliyeshinda kiti cha Udiwani kata ya Tungi kutokana na kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo. Mh. Mzeru alishinda nafasi hiyo kwa kishindo kwa kuwashinda wapinzani wake kutoka vyama vingine kwa tofauti ya kura nyingi.

No comments:

Post a Comment